Polisi yamsaka mwanamke aliyeiba mtoto wa siku moja
MTOTO mchanga mwenye umri wa siku moja ameibiwa katika Kata ya Buzuruga, Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza Wilbrod Mutafungwa alisema tukio hilo lilitokea Februari 7, mwaka huu majira 10:00 jioni Buzuruga katika Manispaa ya Ilemela. Alisema Februari 6, mwaka huu, mkazi ...The post Polisi yamsaka mwanamke aliyeiba mtoto wa siku moja first appeared on HabariLeo.
2026-02-11 05:41:35