Dkt. Mwigulu Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi Ya Tanga
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 15, 2026 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa miundombinu ya Chuo Kikuu Mzumbe kampasi ya Tanga ambayo hadi kukamilika kwake kutagharimu zaidi cha shilingi bilioni 12 Chuo hicho kinachojengwa katika kata ya Gombero, Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, unatekelezwa kupitia mradi wa Elimu ya Juu [...]The post Dkt. Mwigulu Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi Wa Chuo Kikuu Mzumbe, Kampasi Ya Tanga appeared first on Global Publishers.
2026-02-15 11:19:53