Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Wamarekani wahimizwa kuondoka Mashariki ya Kati
Katika siku ya tatu ya mapigano kati ya Iran, Israel, na Marekani, milipuko, roketi, na mashambulizi ya anga yameongezeka katika eneo hilo. Israel ilitangaza siku ya Jumatatu, Machi 2, kwamba imezindua mashambulizi mapya "makubwa" dhidi ya Tehran. Shambulio hilo la Israel na Marekani limesababisha vifo vya watu wasiopungua 555 nchini Iran tangu lilipoanza Jumamosi, Februari 28, kulingana na Shirika la Hilali Nyekundu la Iran.
2026-03-03 08:03:26

What are you doing?

0.038340091705322


News
News

Latest News and Headlines
Katika siku ya tatu ya mapigano kati ya Iran, Israel, na Marekani, milipuko, roketi, na mashambulizi ya anga yameongezeka katika eneo hilo. ...
News