Iran yadai kuishambulia meli ya mafuta ya Marekani, mashambulizi yanaendelea Tehran
Israeli imezindua mashambulizi mapya dhidi ya Lebanon siku ya Alhamisi, Machi 5, ikifanya mashambulizi ya anga katika miji kadhaa ya mpakani kusini mwa nchi. Wakati huo huo, Iran imezindua mashambulizi mengine ya makombora dhidi ya Israel, kulingana na jeshi la Israel na vyombo vya habari vya serikali ya Iran.
2026-03-05 10:18:03