Lueden

Slzii.com Sichen

Sichen (Neiegkeeten)

DRC: Umoja wa Mataifa wamteua Mmarekani James Swan kuongoza MONUSCO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua mkuu mpya kwa ajili ya tume yake ya kuleta utulivu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO). Mmarekani James Swan, balozi wa zamani wa Marekani nchini DRC chini ya utawala wa Barack Obama na mkuu wa zamani wa tume ya Umoja wa Mataifa nchini Somalia, ataongoza MONUSCO, akichukua nafasi ya Bintou Keita kutoka Guinea.
2026-03-06 12:23:26

Wat méchs du?

0.04750394821167


Neiegkeeten
Neiegkeeten

Lescht Neiegkeeten an Iwwerschrëften
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amemteua mkuu mpya kwa ajili ya tume yake ya kuleta utulivu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kon...
Neiegkeeten