Marekani Yafunga Ubalozi Nchini Burundi, Rwanda na Uganda
Kupitia taarifa iliyotolewa kwenye tovuti yao rasmi, Ubalozi wa Marekani umekufunzi kufunga ofisi zao katika nchi mbalimbali ikiwemo Burundi, Rwanda, na Uganda. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, hatua hiyo imetokana na ukosefu wa fedha unaoikabili Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, baada ya serikali kuu kuchukua hatua za kupunguza matumizi ya fedha nje ya [...]The post Marekani Yafunga Ubalozi Nchini Burundi, Rwanda na Uganda appeared first on Global Publishers.
2026-02-04 03:03:32