Loading

Slzii.com Search

Search (News)

Mashariki mwa DRC: Serikali ya Kongo na AFC/M23 wafafanua mkataba wa amani uliosainiwa Doha
Hii ni hatua mpya kwa mchakato wa amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Serikali ya Kongo na kundi lenye silaha la AFC/M23 walisaini hati mpya Jumatatu, Februari 2, wakati wa majadiliano ambayo yamekuwa yakifanyika kwa miezi kadhaa huko Doha chini ya usimamizi wa Qatar. Hati hii inaelezea hadidu za rejea kwa utaratibu wa ufuatiliaji wa kusitisha mapigano.
2026-02-04 07:10:53

What are you doing?

0.041214942932129


News
News

Latest News and Headlines
Hii ni hatua mpya kwa mchakato wa amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Serikali ya Kongo na kundi lenye silaha la AFC...
News