Yükleniyor

Slzii.com Aramak

Aramak (Haberler)

DRC: Jumla ya dola milioni 3.7 ziligunduliwa katika Uwanja wa Ndege wa Ndjili
Kashfa ya kifedha inatikisa serikali ya Kinshasa baada ya kugunduliwa siku ya Jumamosi ya wiki iliyopita kwa kiasi kikubwa cha pesa. Ingawa mamlaka hapo awali ziliripoti karibu dola milioni mbili zilizofichwa kwenye masanduku katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ndjili, Waziri wa Sheria hatimaye amebainisha kwamba dola milioni 3.4 za Marekani ziligunduliwa. Watu wawili wamekamatwa, lakini mmiliki halisi wa fedha hizo bado hajulikani, kulingana na vyanzo vyetu.
2026-03-25 05:16:35

Ne yapıyorsun?

0.04796290397644


Haberler
Haberler

Son Haberler ve Manşetler
Kashfa ya kifedha inatikisa serikali ya Kinshasa baada ya kugunduliwa siku ya Jumamosi ya wiki iliyopita kwa kiasi kikubwa cha pesa. Ingawa ...
Haberler