Caricamento

Slzii.com Ricerca

Ricerca (Notizia)

Cuba: Mpango wa misaada ya dharura wajadiliwa katika UM ili kuepuka 'mgogoro wa kibinadamu'
Umoja wa Mataifa umependekeza mpango wa misaada ya dharura kwa Cuba, ikiwa ni pamoja na uwasilishaji wa mafuta, kama sehemu ya majadiliano na Marekani kuhusu idhini ya uagizaji wa bidhaa za kibinadamu, afisa wa Umoja wa Mataifa amesema siku ya Jumatano, Machi 25. Mpango huu unakuja huku Shirika la Afya Duniani likiona hali ya afya kisiwani humo kuwa ya kutisha.
2026-03-26 07:16:30

Cosa fai?

0.048709869384766


Notizia
Notizia

Ultime notizie e titoli
Umoja wa Mataifa umependekeza mpango wa misaada ya dharura kwa Cuba, ikiwa ni pamoja na uwasilishaji wa mafuta, kama sehemu ya majadiliano n...
Notizia