Rais Samia Afanya Mabadiliko ya Uongozi, Atea Makatibu Wakuu na Wakuu wa Mikoa Wapya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko kadhaa ya kiutendaji kwa kuwateua viongozi mbalimbali katika nafasi za juu serikalini, yakiwemo uteuzi wa Makatibu Wakuu wa wizara na Wakuu wa Mikoa. Katika uteuzi huo, Balozi Waziri Rajab Salum ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara, akichukua nafasi ya [...]The post Rais Samia Afanya Mabadiliko ya Uongozi, Atea Makatibu Wakuu na Wakuu wa Mikoa Wapya appeared first on Global Publishers.
2026-02-06 19:50:56