Nafasi za Kazi 26 Ofisi Ya Msajili wa Hazina Mwisho wa Maombi Februari 11, 2026
Dodoma, Tanzania – Ofisi ya Rais, Public Service Recruitment Secretariat (PSRS) imezindua tangazo la ajira la viti 26 vya kuhamishwa kwa watumishi wa umma waliopo. Ajira hizi zinapatikana kupitia Office of Treasury Registrar (OTR) na ni kwa watumishi walio na sifa bora, uadilifu, na uzoefu unaofaa. BONYEZA HAPA KUSOMA >>> NAFASI ZA KAZI ZA KUHAMIA [...]The post Nafasi za Kazi 26 Ofisi Ya Msajili wa Hazina Mwisho wa Maombi Februari 11, 2026 appeared first on Global Publishers.
2026-02-01 04:00:41